Mji mkuu wa Kinshasa :tshumba tsha umeme(SNEL) inajaliwa kuleteya wa kahaji wa quartier Yolo sud transformateur 630KW kisha miezi mi tatu ya uukosefu wa umeme

Tshumba ya tahifa ya umeme inakuya tena kurudisha furah kwa idadi ya watu wa quartier yolo sud yenye inapatikana ndani ya commune ya kalamu( Kinshasa). Nayo ili fanyika Siku ya kwanza tarée moja mwezi wa tano.

Redaction

1 Tano 2023 - 13:44
 0
Mji mkuu wa Kinshasa :tshumba tsha umeme(SNEL) inajaliwa kuleteya wa kahaji wa quartier Yolo sud transformateur 630KW kisha miezi mi tatu ya uukosefu wa umeme

Ufungaji wa transformateur 630KW iyo , ili fanyika mbele ya mkurungenzi mkuu kwa mda wa tshumba ya tahifa ya umeme(SNEL)  Bwana Teddy Luamba, mwenye anaonesha furah yake ya kuona mafanyikiyo la wazo ya Raïsi wa jamuhuri ya kidemocratia ya Congo , Félix-Antoine Tshisekedi.

« Tuli wa semeya wiki iliyopita , ya kwamba, tu ta jiunga ku jambo  ju ya kurudisha mwanga kwanye kulikuwa giza. Léo, tuna kuya ku mafanyikiyo ya ku weka transformateur iyo, katika  niya ya kusindikiza wazo nzuri ya Raïs wa jamuhuri ya kidemocratia ya Congo , Félix Tshilombo, kwa yenye kuhusu umeme ya watu wetu n'a Pia kusogeha n'a usimamizi kwa wateja wetu. Iyi ni mkoba mkumbwa wenye uhukuwa n'a umeme tangu mwezi wa pili. Nanjo mahana tuna kuja kufanya kazi iyo », Ili ni kahuli ya mkurungezi mkuu kwa mdaa wa SNEL, Teddy Luamba.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.